long live my love
JF-Expert Member
- Feb 23, 2014
- 1,064
- 1,012
Nawaasa mabaharia wenzangu kwa hili. Nimekuja kubaini kwamba pisi zinaamuaga kunipotezea kisa sio mhongaji mzuri. Kutokana na muonekano wangu wa nje mademu wanajuaga ni mhongaji kumbe wapi,mimi nikizidisha sana demu nampa elfu kumi ila mara nyingi buku tano. Wengi nikitongoza wanaanza vizinga huwa nawaambia mpaka siku tukionana na upande wa nauli nawaambia wakope nitarudisha. Sasa kila nikipata demu akiniomba mpunga mara mbili tatu akiona nimemkazia ananifungia vioo. Sasa najiuliza hivi siku hizi hakuna real love? Demu nimemtongoza mchana jioni matatizo kibao. Sawa nitatoa lkn sasa napanda damu mpaka 15,000/= maana nimejifunza sasa ila mziki wake sio wa kipolepole,nitalipiza.