Mademu wananikimbia kisa ubahili wangu.

Mademu wananikimbia kisa ubahili wangu.

long live my love

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2014
Posts
1,064
Reaction score
1,012
Nawaasa mabaharia wenzangu kwa hili. Nimekuja kubaini kwamba pisi zinaamuaga kunipotezea kisa sio mhongaji mzuri. Kutokana na muonekano wangu wa nje mademu wanajuaga ni mhongaji kumbe wapi,mimi nikizidisha sana demu nampa elfu kumi ila mara nyingi buku tano. Wengi nikitongoza wanaanza vizinga huwa nawaambia mpaka siku tukionana na upande wa nauli nawaambia wakope nitarudisha. Sasa kila nikipata demu akiniomba mpunga mara mbili tatu akiona nimemkazia ananifungia vioo. Sasa najiuliza hivi siku hizi hakuna real love? Demu nimemtongoza mchana jioni matatizo kibao. Sawa nitatoa lkn sasa napanda damu mpaka 15,000/= maana nimejifunza sasa ila mziki wake sio wa kipolepole,nitalipiza.
 
Wanawake wanataka matunzo. Ukimpata ujue unabeba majukumu mengi kama sio yote. We wape hela kama unazo ila isizidi elf 20 bila kuchakata.
 
Nawaasa mabaharia wenzangu kwa hili. Nimekuja kubaini kwamba pisi zinaamuaga kunipotezea kisa sio mhongaji mzuri. Kutokana na muonekano wangu wa nje mademu wanajuaga ni mhongaji kumbe wapi,mimi nikizidisha sana demu nampa elfu kumi ila mara nyingi buku tano. Wengi nikitongoza wanaanza vizinga huwa nawaambia mpaka siku tukionana na upande wa nauli nawaambia wakope nitarudisha. Sasa kila nikipata demu akiniomba mpunga mara mbili tatu akiona nimemkazia ananifungia vioo. Sasa najiuliza hivi siku hizi hakuna real love? Demu nimemtongoza mchana jioni matatizo kibao. Sawa nitatoa lkn sasa napanda damu mpaka 15,000/= maana nimejifunza sasa ila mziki wake sio wa kipolepole,nitalipiza.

Yet another piece of evidence that women never love.
 
Wanawake wanataka matunzo. Ukimpata ujue unabeba majukumu mengi kama sio yote. We wape hela kama unazo ila isizidi elf 20 bila kuchakata.
20K cement mfuko mmoja na site umeshafika na change inabaki nauli ya Bodaboda kurudi stand kutoka unakopanga tofali zako....

Kijana gawana na wazazi wako kile unachokipata kadiri wanavyosema asante na wewe ndivyo unavyozidi kuchanua,hii theory wengi hawapendi kuitumia au hawaijui wanajikuta wanajikunja na kazi nyingi kipato hakionekani kwa sababu wanatapanya hovyo na viumbe visivyokuwa na shukrani

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Ambae huhongi utakua na gholofa lako saaafi.

20K cement mfuko mmoja na site umeshafika na change inabaki nauli ya Bodaboda kurudi stand kutoka unakopanga tofali zako....

Kijana gawana na wazazi wako kile unachokipata kadiri wanavyosema asante na wewe ndivyo unavyozidi kuchanua,hii theory wengi hawapendi kuitumia wanajikuta wanajikunja na kazi nyingi kipato hakionekani kwa sababu wanatapanya hovyo na viumbe visivyokuwa na shukrani

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
20K cement mfuko mmoja na site umeshafika na change inabaki nauli ya Bodaboda kurudi stand kutoka unakopanga tofali zako....

Kijana gawana na wazazi wako kile unachokipata kadiri wanavyosema asante na wewe ndivyo unavyozidi kuchanua,hii theory wengi hawapendi kuitumia wanajikuta wanajikunja na kazi nyingi kipato hakionekani kwa sababu wanatapanya hovyo na viumbe visivyokuwa na shukrani

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Asante kwa kuniunga mkono. Kwani hizo papucha wao wanalipia kodi?
 
Kwani wewe mkuu unatafuta real love au ngono?
 
Back
Top Bottom