Mademu wananipapatikia nikivaa gwanda la CHADEMA

Hivi kati ya Mwanamke na Mwanaume, anayeliwa ni nani?

Wamasaai wanatongozana kwa neno: "...Mama Yeyo, namba ile nameza mwenzake....."

Kwa msemo huo, huwa nashindwa kuelewa wanaume tunapojisifu/tunasifiwa "kula Mademu" wakati ukweli ni kuwa ni sisi huwa tunamezwa kwenye mgodi wa Mbuguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…