Tetesi: Madeni ya Mishahara kulipwa mwezi ujao

Tetesi: Madeni ya Mishahara kulipwa mwezi ujao

M
Mwezi ujao kuna mpango wa serikali kulipa madeni ya watumishi na wazabuni, je madeni yanayohusiana na mishahara kama arrears yatalipwa?? Mwenye taarifa atujuze.!
Madeni gani tena wakati vyeo vyote walivyopata watu kuanzia 2016 sasa hivi vinaanzia novemba 2017
 
Ukaguzi, upembuzi yakinifu unabid kufanywa ili kuhakikisha hawalipi madeni hewa
 
Mwenye taarifa hizi atujuze ivi kweli serikali italipa madeni yote ama watalipwa walimu tu,
 
alisema kuanzia mwezi ujao ila akaongeza kibwagizo kitamu cha tangu ameningia madarakani
hadi uhakiki ufanyike..!
 
Mkuu alisha sema sasa unauliza nini tena au ulisha wahi kusikia kudanganya?
 
Mwezi ujao ndo upi?kila mwezi mwezi ujao huu mwezi ujao mbona hauji?Katika kitu nitakacho kikumbuka hawamu hii ni uongo tu.Huku wananchi ndo usiseme na huko juu Mhmhmhmh.
 
Mimi sina uhakika .kama angekuwa analipa mwenyewe Raisi ingewezekana.maana watendaji wake wanaishiaga kwenye michako michakato na siyo kulipa.mpaka Raisi aingilie kati tena.napendekeza Rais angekuwa na kama ka application hivi ka kumalati kujua status ya utekelezaji agizo lake

Kwa mfano wafanyakazi wa Ilala municipal,hasa idara ya afya wameshaandikishwa barua za kudai ili kulipwa stahiki zao za likizo karibu mara sita sasa lakini hakuna kitu kinachendelea.
 
Mimi sina uhakika .kama angekuwa analipa mwenyewe Raisi ingewezekana.maana watendaji wake wanaishiaga kwenye michako michakato na siyo kulipa.mpaka Raisi aingilie kati tena.napendekeza Rais angekuwa na kama ka application hivi ka kumalati kujua status ya utekelezaji agizo lake

Kwa mfano wafanyakazi wa Ilala municipal,hasa idara ya afya wameshaandikishwa barua za kudai ili kulipwa stahiki zao za likizo karibu mara sita sasa lakini hakuna kitu kinachendelea.
Watendaji walipe kutoka mifukoni mwao kama hapeleki pesa?
 
...mwezi ujao itakua mwaka ujao....tumechoka Na hadithi hii isiyoisha....wana angalia kukiwa Na janga la kutia aibu kwao wanaleta hadithi ya kulipa arrears... Wabongo mkisahau nao wanaendelea na issue nyingine....ni rahisi sana kusoma huu utawala dhalimu.....sasa hivi watu washasahaulishwa madeni....hadithi nyingine itakuja....
 
alisema pia kuanzia mwez wa kumi na mbili mwaka jana watu wangelipwa stahiki zao lakini akaishia kuweka increments
 
...mwezi ujao itakua mwaka ujao....tumechoka Na hadithi hii isiyoisha....wana angalia kukiwa Na janga la kutia aibu kwao wanaleta hadithi ya kulipa arrears... Wabongo mkisahau nao wanaendelea na issue nyingine....him rahisi sana kusoma huu utawala dhalimu.....sasa hivi watu washasahaulishwa madeni....hadithi nyingine itakuja....
Nchi ya hovyo kabisa
 
..nchi ya tz si ya hovyo bali serikali inayotawala....maana nchi iko pale pale na inapendeza....lakini shida ni watawala wa nchi hii....ni shida sana pale unapotawala kwa kiki,dhihaka, fitna,fedhuli Na laghai....hata Mungu hapendi hii kitu....

Nchi ya hovyo kabisa
 
..nchi ya tz si ya hovyo bali serikali inayotawala....maana nchi iko pale pale na inapendeza....lakini shida ni watawala wa nchi hii....ni shida sana pale unapotawala kwa kiki,dhihaka, fitna,fedhuli Na laghai....hata Mungu hapendi hii kitu....
Serikali dhalimu kupita kiasi.
 
Back
Top Bottom