Madera na vijora vimeshamiri mjini Dar

Madera na vijora vimeshamiri mjini Dar

6321

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2016
Posts
649
Reaction score
1,117
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Kwa siku ya jana na leo vazi pendwa la wanawake wa mjini dera na kijora vimepamba sana mjini.

Hivi sifa za wavaa hayo mavazi ni zipi?

1621417346064.png

 
Vijora na dera kwa huku dar ni vazi pendwa kutokana na hali ya hewa.Dar ni joto sana kwa hiyo vazi kidogo linaloweza kupitisha hewa ya kutosha na kusitiri mwili mzima ni kijora ama dela.Kama umetoka mkoani lazma ushangae make huko mtu kazoea kujitanda na kujifunga vitege vitatu huku ndani kuna gauni na Anda sketi.Ukivaa hivo dar utapasuka so mkuu usishangae ni vazi la kawaida sana tu pia inategemea na matumizi.

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Kama hujazoe mmm hautoki nalo mbali mie labda nivae nyumbani lakini mtaani hapana, labda nianze kesho, tena haya mepesi ndiyo kwanza sitaki kabisi mtu wabara mie!!!!!!

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom