The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Kumbe ni dereva boda boda ndo wamemua huyu Mashali
wamebishana bei ..yeye anataka kulipa 2000 ..bodaboda anataka 3000
Jamaa akiwa kalewa pia akaleta ubabe..akampiga dereva bodaboda hadi chini..
dereva akaiita mwizi....naona watu wakadhani ni mwizi wa bodaboda..
wenzie wakamvamia na kumpiga.....
source ni mwanae ambae anasema maelezo hayo amepewa na baba yake
alipomuuliza chanzo kabla hajafa....amehojiwa na Azamm Two
binafsi naona na hospitali zetu nazo zime changia vifo aina sana tu
wamebishana bei ..yeye anataka kulipa 2000 ..bodaboda anataka 3000
Jamaa akiwa kalewa pia akaleta ubabe..akampiga dereva bodaboda hadi chini..
dereva akaiita mwizi....naona watu wakadhani ni mwizi wa bodaboda..
wenzie wakamvamia na kumpiga.....
source ni mwanae ambae anasema maelezo hayo amepewa na baba yake
alipomuuliza chanzo kabla hajafa....amehojiwa na Azamm Two
binafsi naona na hospitali zetu nazo zime changia vifo aina sana tu