The Watchman
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 896
- 1,427
Wakuu
Umoja wa Madereva na Makondakta wa Daladala Mbeya Jiji (UDEKO) umetoa wito kwa Mbunge wa Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, kugombea tena Ubunge katika jimbo hilo kutokana na kazi nzuri aliyoifanya katika kipindi chake cha uongozi.
Kauli hiyo imetolewa tarehe 2 Machi 2025, katika kikao cha maafisa usafirishaji kilichofanyika katika Ukumbi wa JKT Nanenane, Mbeya. Wajumbe wa kikao hicho wamesema kuwa endapo Mhe. Dkt. Tulia ataamua kutochukua fomu ya kugombea, wao wenyewe watalazimika kumchukulia fomu na kumpelekea nyumbani kwake.
Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Umoja wa Madereva na Makondakta wa Daladala Mbeya Jiji (UDEKO) umetoa wito kwa Mbunge wa Mbeya Mjini na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, kugombea tena Ubunge katika jimbo hilo kutokana na kazi nzuri aliyoifanya katika kipindi chake cha uongozi.
Kauli hiyo imetolewa tarehe 2 Machi 2025, katika kikao cha maafisa usafirishaji kilichofanyika katika Ukumbi wa JKT Nanenane, Mbeya. Wajumbe wa kikao hicho wamesema kuwa endapo Mhe. Dkt. Tulia ataamua kutochukua fomu ya kugombea, wao wenyewe watalazimika kumchukulia fomu na kumpelekea nyumbani kwake.
Pia soma: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025