Madereva wa Kenya!!

Madereva wa Kenya!!

Mr. MTUI

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2013
Posts
8,130
Reaction score
8,362
Hivi Kenya kuna chuo cha usafirishaji? If yes.. Madereva wa matatuu na wa tuktuk za mombasa na Nairobi huwa wanasomea wapi? Naomba majibu ya haya maswali!
 
Nataka wakenya wajibu kwanza..
 
Nataka wakenya wajibu kwanza..
Tukijibu nini? Kwani ni wapi hakuna crazy drivers? How many people die annually due to road accidents in Tanzania btw? Na sasa hawa madereva walisomea uendeshaji wapi?
 
Tukijibu nini? Kwani ni wapi hakuna crazy drivers? How many people die annually due to road accidents in Tanzania btw? Na sasa hawa madereva walisomea uendeshaji wapi?
Hivi hizo fujo za mombasa na Nairobi mmezizoea au ni nini? Nafikiri kwa east africa mnaongoza kwa kwa barabara zenye madereva wendawazimu..
 
Hivi hizo fujo za mombasa na Nairobi mmezizoea au ni nini? Nafikiri kwa east africa mnaongoza kwa kwa barabara zenye madereva wendawazimu..

na nyie mnaongoza kwa vifo barabarani
 
Hebu tuambie kwanza hawa wa kwenu wamepata wapi darasa la udereva, maana wana tabia za kuachia usukani kisa wamenogewa na bongo flavor

 
Back
Top Bottom