Madereva wa mijini hasa Dar (kwenye lami) vs madereva wa mikoani (rough road )

Ack

Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
88
Reaction score
87
Kuna watu hujiita ni madereva na wapo hapa mjini kweli kwa mjini wanatesa sana na wanaendesha vizuri na control wanayo, Lakini ukija kwenye madereva wa mikoani hasa wale wanaotumia barabara za rough kiukweli wana uzoefu mkubwa mno i mean next level, hii n kutokana na changamoto wanazokutana nazo.

nimeangalia hii video kiukwel dereva kama wewe hujawahi pita ndo ikawa mara ya kwanza au hata ya 2, unaweza ukafika hapa ukaliaaaaaaaaaaaa na mweshowe ukanyamaza na ukasinzia hapo hapo.

 
Wale mnaodanganywa na ki ist 4wd piteni hapo wadau.
 
Madere wa Dar ni walenga madaraja Tu.
 
Hiyi ni wapi!?
 
hapo mbona kawaida sana hutakiwi kusita sita ukifika hapo ni mafuta mengi tu unapita
 
hapo mbona kawaida sana hutakiwi kusita sita ukifika hapo ni mafuta mengi tu unapita
Kweli kanyaga mafuta,cheza na usukani,mbele kwa mbele hata mimi naweza hilo dogo sana,enzi ya rough road,Mbeya-Sumbawanga.1988!
 
Kweli kanyaga mafuta,cheza na usukani,mbele kwa mbele hata mimi naweza hilo dogo sana,enzi ya rough road,Mbeya-Sumbawanga.1988!
yani hao wamezizalilisha sana land cruiser tope kavu kabisa hilo eti wana chimba chimba watu tumepita mtoni umebaki mkonga tu unapumua na tumetoboa
 
Kamateni mbunge na wahusika wengine wajenge barabara. Sioni ujanja kushindana kuishinda hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…