Jumanne Mkota
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,987
- 1,757
Salaam WanaJf,
Hivi Hawa madereva wa serikali na mashirika ya umma hizi sheria za barabarani haziwahusu? Au ni kwa sababu leseni zao hazupigwi faini! Hii ni shida kubwa mno kama Kuna watu tu eti kwa sababu ni waajiriwa was serikali Basi wapo above the law.
Haya magari mawili pichani yamesimama kwenye mzunguko (keepleft) kwa zaidi ya nusu saa hakuna Cha maana wanafanya Tena mbele ya kitui Cha polisi.
Na kusababisha adha kubwa kwa watumiaji wengine! Kama humu Kuna kwenye mamlaka anapaswa kukemea hiki kitu huko serikalini, watu wa aina hii wameshasababisha ajali nyingi mno kwa sababu wanaokufa au kupata ulemavu sio wa kwao hakuna qnayejali.
Hivi Hawa madereva wa serikali na mashirika ya umma hizi sheria za barabarani haziwahusu? Au ni kwa sababu leseni zao hazupigwi faini! Hii ni shida kubwa mno kama Kuna watu tu eti kwa sababu ni waajiriwa was serikali Basi wapo above the law.
Haya magari mawili pichani yamesimama kwenye mzunguko (keepleft) kwa zaidi ya nusu saa hakuna Cha maana wanafanya Tena mbele ya kitui Cha polisi.
Na kusababisha adha kubwa kwa watumiaji wengine! Kama humu Kuna kwenye mamlaka anapaswa kukemea hiki kitu huko serikalini, watu wa aina hii wameshasababisha ajali nyingi mno kwa sababu wanaokufa au kupata ulemavu sio wa kwao hakuna qnayejali.