Madereva wa SGR wana leseni ya aina moja?

Madereva wa SGR wana leseni ya aina moja?

Trubarg

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2020
Posts
4,388
Reaction score
7,223
Wakati mwingine ukipanda husikii chochote na wakati mwingine ukipanda Gia na breki zote unazisikia, yaani mishituko ya hapa na pale.
 
Kuna chuo chao pale Tabora, kuna kozi nyingi kuhusiana na masuala ya usafiri wa reli
 
Sasa hivi imepita muda halijazimika njiani mnatafuta chokochoko nyingine. Ukitaka super smooth ride panda EMU hutasikia mikito. Ila hio yenye kichwa na mabehewa mikito ya hapa na pale kwenye breaking na kuondoka ni kawaida ingawa mikito sometimes inategemea na dereva.
Hata ndege ikitua kuna marubani wana smooth landing na wengine wanabamiza ndege ardhini na wote wana leseni za urubani.
 
Sasa hivi imepita muda halijazimika njiani mnatafuta chokochoko nyingine. Ukitaka super smooth ride panda EMU hutasikia mikito. Ila hio yenye kichwa na mabehewa mikito ya hapa na pale kwenye breaking na kuondoka ni kawaida ingawa mikito sometimes inategemea na dereva.
Hata ndege ikitua kuna marubani wana smooth landing na wengine wanabamiza ndege ardhini na wote wana leseni za urubani.
Nilikuwa natoa reference ya hizo zenye kichwa na behewa, hizo hizo zingine husikii kitu zingine mikito kama yote.
 
Back
Top Bottom