Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 463
- 1,009
Jamani madereva wa Uber tunajua maisha magumu kwa wote which means tukipata offer zetu msitununie sisi au kutulalamikia njia nzima as if cc ndo tumeweka bei.
Kwani cc tukiambiwa 15k hata sehem ndogo bado tunatoa Km kawa hatulalamiki Wala hatuombi mtupunguzie. Km hao Uber wanawabana hamieni Indrive au muwe boda, bajaj au taxi za kawaida kuliko kuanza kutukalamikia hela haitoshi wakati wote tunalipa iliyoandikwa kw app.
Pia madereva wengine someni wateja mkiona wapo kimya punguzeni kuleta stori mteja akiwa hayupo kw mood; jiongezeni kuliko kuongea peke yako trip nzima mpk nusu tupate ajali plz.
Kwani cc tukiambiwa 15k hata sehem ndogo bado tunatoa Km kawa hatulalamiki Wala hatuombi mtupunguzie. Km hao Uber wanawabana hamieni Indrive au muwe boda, bajaj au taxi za kawaida kuliko kuanza kutukalamikia hela haitoshi wakati wote tunalipa iliyoandikwa kw app.
Pia madereva wengine someni wateja mkiona wapo kimya punguzeni kuleta stori mteja akiwa hayupo kw mood; jiongezeni kuliko kuongea peke yako trip nzima mpk nusu tupate ajali plz.