Ab-Titchaz
JF-Expert Member
- Jan 30, 2008
- 14,630
- 4,253
nawapa pole kwa mkasa huo.
kuna watu huko mombasa mambo hayo wanayapenda kweli kweli
Jamani hili zogo la Kenya has taken a direction of its own. Gazeti moja la Uganda linaripoti kua Madereva wakiganda walirukiwa
na vijana f'lani na kufanyiwa vitendo kinyume na starehe za kimaumbile....MAELEZO ZAIDI!!!
Je kubaka ni kwenda kinyume na starehe za maumbile tu? Kama ni hivyo ina maana mwanamke hawezi kubakwa.
Unavyosema Kinyume Na Starehe Za Maumbile Una Maanisha Nini ??