Elimu ya Tanzania tunafundishwa kupata A, B, C kuajiliwa na kuvaa tai kuonekana umesoma na kuelimika kumbe ni bure kabisa. Angalia Kikwete, anavyokula desa mbele ya Rais wa Marekani- Mr, Obama, hapo Obama anajiuliza mara tatu tatu, kama kweli huyu mtu ni Rais wa nchi, nasikia alimpa copy ya notice alizokuwa anasoma kueleza matatizo ya Tanzania " Aaaaa you know Mr. President my country need your help, we have deficit of foreign currency to run our budget, we have shortage of medicine, power, etc.
Kiti chake na sehemu yake ya kukaa alishaandaliwa toka kipindi cha Bush, wanajua atakuja tena na tena na tena " Aaaaa you know Mr. President my country need your help".
Kiti chake na sehemu yake ya kukaa alishaandaliwa toka kipindi cha Bush, wanajua atakuja tena na tena na tena " Aaaaa you know Mr. President my country need your help".