nasikia anakaa na kibabu cha kizungu hiko kibabu kinafanya gas company kibabu eti kina miwaya na kamuhonga freelander cc Smile Heaven on Earth
hivi huyu Joel nae mi simwelewagi swaga zake wallah..........
Rio huwa anaendeshwa kwenye jiRange Rover Jeusi T ----
Kumbe rio alikuwa anatokaga na chid benz wakaachana,akaenda kwa mtangazaji wa clouds(jina kapuni) nae wakamwagana ndo akahamia kwa white man had sasa