Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
Unachambua mchele ukitegemea kuona mawe kwa kutumia taa ya kandili ujue unaumiza macho. Maana ina mwanga hafifu tofauti na stima.
Je, ni rahisi kuibananisha na kisha kuihukumu Serikali inayojiwajibisha yenyewe? Hapana, maana serikali makini inajisimamia inavyotakiwa.
Huwezi kusikia ufisadi wa kutisha,uzembe wa hovyohovyo kwa watumishi wa umma n.k.
Leo hii wapinzani wamekosa wapi wataikosoa Serikali ili kuinanga kwa wananchi, matokeo yake wanatumia taa ya kandili kutaka waone makosa ya Serikali.
My take; Wapinzani wamekuwa kama akina mama wanaochambua mchele kwa taa ya kandili, maana hawaoni kama kuna kosa au la, wamebaki kupapasa na kubahatisha kama serikali ina makosa. Matokeo yake ni aibu.
Je, ni rahisi kuibananisha na kisha kuihukumu Serikali inayojiwajibisha yenyewe? Hapana, maana serikali makini inajisimamia inavyotakiwa.
Huwezi kusikia ufisadi wa kutisha,uzembe wa hovyohovyo kwa watumishi wa umma n.k.
Leo hii wapinzani wamekosa wapi wataikosoa Serikali ili kuinanga kwa wananchi, matokeo yake wanatumia taa ya kandili kutaka waone makosa ya Serikali.
My take; Wapinzani wamekuwa kama akina mama wanaochambua mchele kwa taa ya kandili, maana hawaoni kama kuna kosa au la, wamebaki kupapasa na kubahatisha kama serikali ina makosa. Matokeo yake ni aibu.