MR SALMIN
Member
- Sep 6, 2015
- 9
- 5
Je, ulishawahi kutapeliwa na kampuni iliyosajiliwa!?
Taasisi nyingi za kiserikali na binafsi kwa sasa husajili vitu vingi online ili kurahisisha na kuongeza ufanisi.
Mfano TRA na BRELA.
TRA huweza kusajili TIN no. Bure mtandaoni na BRELA ukasajili kampuni mtandaoni.
Hiii imesaidia vitu vingi sana ikiwemo...
i)kupunguza msongamono katika ofisi
ii)kuokoa muda na fedha za usafiri kwenda katika ofisi za taasisi husika.
iii)Kuongezeka kwa usajili....
Na nyinginezo nyingi sanaaaa
Ila huu mfumo umewawekea mwanya matapeli...
Sasa matapeli wengi hutumia mifumo hii kusajili kampuni na kuwaaminisha raia kuwa ni kampuni salama inayotambulika, kisha hufanya utapeli na kuitelekeza kampuni.
USHAURI KWA MAMLAKA HUSIKA
kuongeza udhibiti wa ufuatiliaji kila kampuni mpya inavyojiendesha, na kufuatilia madhumuni ya hizo kampuni...
Taasisi nyingi za kiserikali na binafsi kwa sasa husajili vitu vingi online ili kurahisisha na kuongeza ufanisi.
Mfano TRA na BRELA.
TRA huweza kusajili TIN no. Bure mtandaoni na BRELA ukasajili kampuni mtandaoni.
Hiii imesaidia vitu vingi sana ikiwemo...
i)kupunguza msongamono katika ofisi
ii)kuokoa muda na fedha za usafiri kwenda katika ofisi za taasisi husika.
iii)Kuongezeka kwa usajili....
Na nyinginezo nyingi sanaaaa
Ila huu mfumo umewawekea mwanya matapeli...
Sasa matapeli wengi hutumia mifumo hii kusajili kampuni na kuwaaminisha raia kuwa ni kampuni salama inayotambulika, kisha hufanya utapeli na kuitelekeza kampuni.
USHAURI KWA MAMLAKA HUSIKA
kuongeza udhibiti wa ufuatiliaji kila kampuni mpya inavyojiendesha, na kufuatilia madhumuni ya hizo kampuni...