madhara na faida zake

Kakajambaz Jr

Member
Joined
Oct 4, 2012
Posts
59
Reaction score
13
habari zenu wana jf,naomba mnisaidie haya mambo
1.ni zipi faida na hasara za kufanya mapenzi na mwanamke aliye na ujauzito.?
2.ni matatizo gani waweza pata ukifanya mapenzi na mwanamke aliye kwenye siku zake?
*NAHITAJI MSAADA UTANI BADAE* Punguzeni maneno makali wanajf asanteni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…