papaa masikini
Senior Member
- Mar 5, 2011
- 176
- 69
Kwa taarifa ambazo leo zimepamba magazeti lukuki,kuhusiana na Kuku wakisasa wanavyosababisha Kansa,na kuwa na homorne zinazosababisha Wanawake kuota ndevu,ugumba na Wanaume kuota matiti nk.
Matumizi ya vyakula ambavyo vinasindikwa/vinatengenezwa na binadamu(man made) ambavyo vimekuwa vikitumika kwa wingi sana kwenye jamii zetu VIMEKUWA VIKILETA SANA ADHARI ZA KIAFYA KWA WATUMIAJI.
Hakuna asiyejua madhara ya (GMO)"Genetically Modification Organism"
Viko vyakula vingi,ila wameona kuku tu ila itakuwa ndo mfano hai Pia zipo SODA.
Chukua hatua.
Matumizi ya vyakula ambavyo vinasindikwa/vinatengenezwa na binadamu(man made) ambavyo vimekuwa vikitumika kwa wingi sana kwenye jamii zetu VIMEKUWA VIKILETA SANA ADHARI ZA KIAFYA KWA WATUMIAJI.
Hakuna asiyejua madhara ya (GMO)"Genetically Modification Organism"
Viko vyakula vingi,ila wameona kuku tu ila itakuwa ndo mfano hai Pia zipo SODA.
Chukua hatua.