papaa masikini
Senior Member
- Mar 5, 2011
- 176
- 69
Unaweza kukata kipande cha hiyo habari na kutuma humu?
wale wa ukinga rudini kula delega na ugali wa ngano ya kienyeji,wabena rudini kula mayao na tetere na numbu kwa sana,wahehe rejeeni kula kambwa,.... Wanyakyusa tandikeni mafufu, wacheni kupenda chips kina dada zinatoa vitambi, wasukuma michembe na matabolwa sasa hv mmeona havina maana mnataka barger..... Wangoni wazee wa mandondo,mboga ya serikali..... Mpooo?.
wale wa ukinga rudini kula delega na ugali wa ngano ya kienyeji,wabena rudini kula mayao na tetere na numbu kwa sana,wahehe rejeeni kula kambwa,.... Wanyakyusa tandikeni mafufu, wacheni kupenda chips kina dada zinatoa vitambi, wasukuma michembe na matabolwa sasa hv mmeona havina maana mnataka barger..... Wangoni wazee wa mandondo,mboga ya serikali..... Mpooo?.