KANDUDI RAYMOND
Member
- Aug 29, 2014
- 91
- 3
wana jamvi..habari zenuu, naomba mnijuze ..je ikatokea ukachelewa kuripoti chuo ulicho pangiwa mathalani .Udsm au Udom, yapi madhara yatakayo kupata? ahsanteni na karibuni mchangie .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye karaha za kupata boom dadavua.Kuna mengi yatakayokupata kama mgeni.. Mbali na usumbufu wa registration, venue za vipindi nazo zitakusumbua..
Kumbuka na karaha za kupata boom pia kwa wachelewjaji zipo..
.Vboko tenaaa! majanga hayo teheteheeeMi nahisi utachapwa viboko
tehhhhhhhhh
.Kwamfano ukachelewa kwa 2week had 3weeks itakuwaje.hujafafanua utachelewa kwa muda gani
Nivute wapii..bt some times v2 kama hvyo vnatokeaUnataka kuvuta siku mr dah
.Nimekupata mkuuHostels,,,,,,unaweza ukakosa
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Kontena jipyaa?? unamaanisha nn mkuu nijuze.unaeza kosa kontena jipya... utakuta wote washachukuliwa
.Worry out ma bro i'll never try it bt some timz it happening.don't try it ma boy.
Kontena jipyaa?? unamaanisha nn mkuu nijuze.
wana jamvi..habari zenuu, naomba mnijuze ..je ikatokea ukachelewa kuripoti chuo ulicho pangiwa mathalani .Udsm au Udom, yapi madhara yatakayo kupata? ahsanteni na karibuni mchangie .
unaeza kosa kontena jipya... utakuta wote washachukuliwa
Kuwa na hekima basi mtu mzma siyo umri..pia kama hauna cha kuchangia vungaa 2.fanya kama haujaon hv.Kwani madhara yapi yanayoweza kukupata ukichelewa kwenda chooni?
Acha uzembe dogo, wahi chuo!
unaeza kosa kontena jipya... utakuta wote washachukuliwa