Madhara ya chama kimoja kukaa madarakani muda mrefu ndio haya. Wenye nchi chukueni hatua

Muda wa kukaa na kuandika haupo nitakuwa bize Sana!!majukumu ya kifamilia yananiandama na najitahidi kuwa Baba Bora kabisa kwa wangu!!
 
Waafrika sio watu wa kuweza kuendelea chini ya tawala za kiimla, ingekuwa hivyo basi Afrika ndio ingekuwa bara iliyoendelea kuliko zote duniani.

Tunahitaji mabadiliko ya mara kwa mara katika uongozi wetu wa juu ili kuleta fikra kinzani ambayo ndio inaweza ikachochea maendeleo ya nchi.

Lakini kwa huu utaratibu wa chama fulani kung'ang'ania madaraka pasipo ridhaa ya wananchi maana yake ni kwamba tutaendelea tu kuchoma mahindi 🌽
 
Kwahiyo tumpe Nani?

Hilo Genge la Wachagga??
Naomba kukukumbusha tena kuwa, kwa bahati mbaya kundi lako ni la waliyofilisika HOJA. Na ndio mliyojazana kule kijani mkidhani mtadumu milele.
 
Leo nchi yetu inalizwa na ufisadi uliofanywa na viongozi wa umma kwasababu tulilea ufisadi sisi wenyewe kwa kuruhusu kikundi cha aina moja kukaa madarakani kwa muda mrefu Sana na kupata muda wa kutosha wa kufanya ufisadi huo kea kutunza sheria lege lege zinazowabeba wao kushika hatamu
 
Huu wa sasa ndio UCHURO wenyewe. Nchi imejaa washetani yaliyo katika mashindano ya kubambikiza watu kesi, kula kwa urefu wa kamba, mazingaombwe ya karibuni ya akina Betina na wenzie huko bungeni
 
Mshanar kama mshanar yaani!!umequote pisi kali mno kwenye Uzi!!
 
Kikwazo kikubwa kwenye nchi zetu za Africa ni majeshi, kama yangeamua kusimama na wananchi nadhani Africa ingekuwa vizuri sana
 
Such a good thread. Me ndo naisoma Leo.

Kuzaliwa Kwa CCM kuliua TANU na TAA na Katiba mpya ilizaliwa.

Likewise, Haiwezekani kuandika KATIBA mpya bila kukiua chama kilichopo.

Kifo Cha CCM ni INEVITABLE baada ya Katiba mpya kupatikana.

Bado namba zinasoma vile vile kuwa, baada ya 2026 hapatakuwa na CCM.

Ameeeen.
 
Ni Kweli, pasingekalika maana mizizi ya CCM imeenda deep sana.
 
Umechelewa Sana mkuu,

Written!
 
Narudia tena, machafuko pekee ndio njia ya kuleta mabadiliko ya kweli kwenye nchi hIi. Subiri uone kitakachoendelea.
Mkuu

Hakuna haja ya machafuko Ili kupata mabadiliko KWA NCHI yangu Tanzania!

Kama Mwl nyerere aliaminiwa kusimamia transformation ya TANGANYIKA kujitawala toka KWA mkoloni,Basi tambua hata sasa kuna dalili naziona za transformation ya utawala MPYA Bila ya ccm hapo mbeleni!

Namuona mtu makini ameshaanza kutema cheche zitakazo zaa moto mkubwa wa mabadiliko ya kiuongozi na kiutawala!!

Trend ya yanayotokea,majibizano ya hoja za kuhoji uhalali wa kiutendaji wa kiti kikuu ni chachu ya mabadiliko Hayo!!!

Naiona Transformation MPYA ikakamilika MAPEMA Sana kabla hata ya uchaguzi mkuu ujao!

TUSUBIRI!
 
Reactions: Ame
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…