Madhara ya Katiba Inayopendekezwa kwa wagombea urais wa UKAWA

Madhara ya Katiba Inayopendekezwa kwa wagombea urais wa UKAWA

President Elect

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2011
Posts
693
Reaction score
212
Madhara ya Katiba Inayopendekezwa kwa wagombea urais wa UKAWA hususan mh.Mbowe na Dk.Slaa ni makubwa na huenda ikasababisha kuenguliwa na Tume ya uchaguzi endapo watawekewa pingamizi. Mh.Mbowe kwa kigezo cha elimu na kukiuka madili ya uongozi (ikithibitika tetesi za kuzaa nje ya ndoa ni za kweli), Dk.Slaa kwa ukiukwaji wa maadili ya uongozi (ikithibitika mke wa kwanza bado ni mke halali kisheria, na mke wa pili anaishi naye bila ndoa halali kisheria).

Hivyo basi pamoja na mapungufu mengi katika Katiba Inayopendekezwa, kura ya HAPANA kwa UKAWA ndio mlango wa kutokea hususan kwa mh.Mbowe na Dk.Slaa, kazi kwenu wapiga kura mtakaoshiriki kura ya maoni tar. 30 April, 2015.
 
huko na akili timamu wewe ngugu. JK kazaa wangapi nje na ana wanawake lukuki kila kona achilia mnbali wanaotabuliwa. Mama Ritz, Mama Mwigul, Mama wa Advoacte, Kwa meghji, Kwa ASAS, kwa Rstam na kwingine. Acha upimbi.
Lowasa kwa batilda, ====================
 
Madhara ya Katiba Inayopendekezwa kwa wagombea urais wa UKAWA hususan mh.Mbowe na Dk.Slaa ni makubwa na huenda ikasababisha kuenguliwa na Tume ya uchaguzi endapo watawekewa pingamizi. Mh.Mbowe kwa kigezo cha elimu na kukiuka madili ya uongozi (ikithibitika tetesi za kuzaa nje ya ndoa ni za kweli), Dk.Slaa kwa ukiukwaji wa maadili ya uongozi (ikithibitika mke wa kwanza bado ni mke halali kisheria, na mke wa pili anaishi naye bila ndoa halali kisheria).

Hivyo basi pamoja na mapungufu mengi katika Katiba Inayopendekezwa, kura ya HAPANA kwa UKAWA ndio mlango wa kutokea hususan kwa mh.Mbowe na Dk.Slaa, kazi kwenu wapiga kura mtakaoshiriki kura ya maoni tar. 30 April, 2015.

OHOOOO! Unatoka wapi tena wewe? Jina kuuubwa President Elect haliendani na uhalisia wake, Katiba Inayopendekezwa haimlengi mtu au chama, hapa ni Utaifa na sio mtu wala chama. Uwe moja ya Watanzania wanaitakia Tanzania mema na kuipatia nchi yako Katiba Imara yenye kujali maslahi ya Watanzania wote kwa ujumla muda utakapowadia kulingana na ratiba iliyoainishwa.
 
madhara ya katiba inayopendekezwa kwa wagombea urais wa ukawa hususan mh.mbowe na dk.slaa ni makubwa na huenda ikasababisha kuenguliwa na tume ya uchaguzi endapo watawekewa pingamizi. Mh.mbowe kwa kigezo cha elimu na kukiuka madili ya uongozi (ikithibitika tetesi za kuzaa nje ya ndoa ni za kweli), dk.slaa kwa ukiukwaji wa maadili ya uongozi (ikithibitika mke wa kwanza bado ni mke halali kisheria, na mke wa pili anaishi naye bila ndoa halali kisheria).

Hivyo basi pamoja na mapungufu mengi katika katiba inayopendekezwa, kura ya hapana kwa ukawa ndio mlango wa kutokea hususan kwa mh.mbowe na dk.slaa, kazi kwenu wapiga kura mtakaoshiriki kura ya maoni tar. 30 april, 2015.

ndugu president elect, ningekuona wa maana endapo ungaliweka baadhi ya vifungu vya katiba inayopendekezwa kwa lengo la kuwaelimisha watu kuliko hiyo kazi uliojipa ya kuwachambua viongozi, wala haikusaidii kitu hiyo.
 

ndugu president elect, ningekuona wa maana endapo ungaliweka baadhi ya vifungu vya katiba inayopendekezwa kwa lengo la kuwaelimisha watu kuliko hiyo kazi uliojipa ya kuwachambua viongozi, wala haikusaidii kitu hiyo.

fuata hii link hapa chini ujipakulie mwenyewe Katiba Inayopendekezwa!

http://www.sheria.go.tz/index.php?option=com_docman&task=doc_download&gid=58&Itemid=68
 
OHOOOO! Unatoka wapi tena wewe? Jina kuuubwa President Elect haliendani na uhalisia wake, Katiba Inayopendekezwa haimlengi mtu au chama, hapa ni Utaifa na sio mtu wala chama. Uwe moja ya Watanzania wanaitakia Tanzania mema na kuipatia nchi yako Katiba Imara yenye kujali maslahi ya Watanzania wote kwa ujumla muda utakapowadia kulingana na ratiba iliyoainishwa.

Husika na hoja yangu juu ya Katiba Inayopendekezwa na madhara yake kwa wahusika hapo juu!
 
huko na akili timamu wewe ngugu. JK kazaa wangapi nje na ana wanawake lukuki kila kona achilia mnbali wanaotabuliwa. Mama Ritz, Mama Mwigul, Mama wa Advoacte, Kwa meghji, Kwa ASAS, kwa Rstam na kwingine. Acha upimbi.
Lowasa kwa batilda, ====================

Hao uliowataja waliingia madarakani kwa mujibu wa katiba yetu ya mwaka 1977.

Hoja yangu ni juu ya uchaguzi mkuu ujao, ikiwa utafayika kwa mujibu wa Katiba Inayopendekezwa kama itapita kwenye kura ya maoni na kuwa Katiba mpya, upo?
 
Hao uliowataja waliingia madarakani kwa mujibu wa katiba yetu ya mwaka 1977.

Hoja yangu ni juu ya uchaguzi mkuu ujao, ikiwa utafayika kwa mujibu wa Katiba Inayopendekezwa kama itapita kwenye kura ya maoni na kuwa Katiba mpya, upo?

Absolutely endapo ikipita itakuwa hivo.
 
Wee MARKYAO Ama kweli ukiwa empty mind haijalishi una jina kubwa kiasi gani, ukiona mtu anaanza kua-attack personalities ujue kaishiwa hoja hana kabisa kichwaa cheupeee anaokota kila linaloingia na kulitoa. ha ha ha ha ha mburulas wanaongezeka.
 
Back
Top Bottom