madhara ya kiafya endapo moja kati ya viungo hivi kuondolewa mwilini.....

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
jamani wazima wote?? si ndiyo?

aisee niesoma post moja ya mdau kutoka jukwaa la elimu ambaye yuko kwenye harakati za kuuza viungo vyake vya mwili, yaani FIGO na KONGOSHO! aisee nimejiuliza mara mbili mbili, is that possible??

yaani mtu afanye biashara ya viungo vyake vya mwili muhimu kabisa halafu aendelee kuishi kwa amani??

... jamani hii inawezekana vipi wataalamu?

... na vipi wale wanaojitolea viungo vyao kwa ajili ya wapendwa wao? life expectancy huwa haiathiriki?

 
Navyojua kongosho inahusika na kuzalisha insulini inayotumia kumeng'enya sukari, hivyo endapo ikiondolewa basi mtu huyu atahitaji kuwa chini ya uangalizi maalum na kuchoma sindano za insulini.

Figo anaweza kuuza moja na kubakiwa na moja na ikafanya kazi zote kama kawaida -- kwa baadhi ya nchi hasa za Eastern Europe pia Asia kusini hii ni biashara haramu yenye fedha nyingi kwa cartels. Hawezi kuuza figo zote 2, atahitaji kufanyiwa dialysis kila wakati (labda mara 1 kwa wiki hivi) au kuwa na mashine yake mwenyewe ambayo ni ghali tu.

Kwa kawaida organ donors ni wale ambao wako katika hali za kukaribia kifo (hawa husaini kukubali kutumika kwa viungo vyao kwa ajili hiyo au kwa ajili ya utafiti wa kisayansi) au kwa baadhi ya viungo kama figo, ndugu au mtu wa karibu wa mgonjwa anaweza kujitolea kutoa figo moja ili kuokoa maisha. Inachukuliwa kama morally wrong KUUZA viungo kwa ajili ya kupata faida ya kifedha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…