Mgjd JF-Expert Member Joined Feb 19, 2012 Posts 532 Reaction score 132 Oct 23, 2012 #21 Watu wengine bwana! Kwani ukitoa mawazo yako bila kumuudhi mwingine kwa maneno ya hovyo huwezi? Mtu anamwambia mwenzie umeshakuwa Boflo,kana kwamba anamuona,its not fair,mleta mada kaleta mada apewe ushauri na si maudhi.
Watu wengine bwana! Kwani ukitoa mawazo yako bila kumuudhi mwingine kwa maneno ya hovyo huwezi? Mtu anamwambia mwenzie umeshakuwa Boflo,kana kwamba anamuona,its not fair,mleta mada kaleta mada apewe ushauri na si maudhi.
COURTESY JF-Expert Member Joined Jun 16, 2011 Posts 2,006 Reaction score 709 Oct 23, 2012 #22 Mahmood said: Madhara ni haya 1) Unapata dhambi 2) Inaathiri nguvu za kiume Click to expand... kivipi?
Mahmood said: Madhara ni haya 1) Unapata dhambi 2) Inaathiri nguvu za kiume Click to expand... kivipi?
S sky_haf JF-Expert Member Joined Oct 7, 2012 Posts 220 Reaction score 23 Oct 23, 2012 Thread starter #23 kuna uhusiano gani kati ya kuangalia porn na kupoteza nguvu za uoni wa macho?