Madhara ya kuanza kampeni Kabla ya muda ni kuchokwa mapema kwa Mgombea husika na kukosa watu

Madhara ya kuanza kampeni Kabla ya muda ni kuchokwa mapema kwa Mgombea husika na kukosa watu

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Screenshot_2025-02-23-11-13-33-1.png


Naomba nitofautiane na watu wengi wanaoshangazwa na Mgombea wa ccm kuanza kampeni miezi 12 kabla ya uchaguzi, unapoanza kampeni mwaka mmoja kabla ya uchaguzi unatoa nafasi kwa Wananchi wakuchoke na kukuona mtu wa kawaida mno, na hasa unapotumia watu walewale kwa mwaka wote huo kukunadi, akiwemo Steve Nyerere, Dotto Magari, Shilole na wengine wasio na sifa yoyote ya kumnadi kiongozi wa nchi kutokana na tabia zao chafu mitaani.

Jambo hili ni kama fursa kwa Wagombea wa Vyama vingine, wala hamna haja ya kusikitika, hii ni kwa sababu Wananchi Watamchoka Mgombea huyo mapema na kampeni zake zitachuja kwa kukosa watu mapema na kuwaachia Maofisa wa serikali na Walinzi wake tu, Nani amesahau Mwaka 2020 wakati Magufuli na Humphrey Polepole wakipiga magoti jukwaani kuwaomba kura Wananchi?

Wakati ccm inapandisha Wahuni wasio na maadili kumuombea kura Mgombea wao, Wapinzani watapandisha Wazee wanaoheshimika akina Warioba na Wengine.
 
Mleta mada ya CCM waachieni wenyewe

Chadema lisu kasema chama hakina hela tafuteni hela kwanza
 
View attachment 3246224

Naomba nitofautiane na watu wengi wanaoshangazwa na Mgombea wa ccm kuanza kampeni miezi 12 kabla ya uchaguzi, unapoanza kampeni mwaka mmoja kabla ya uchaguzi unatoa nafasi kwa Wananchi wakuchoke na kukuona mtu wa kawaida mno, na hasa unapotumia watu walewale kwa mwaka wote huo kukunadi, akiwemo Steve Nyerere, Dotto Magari, Shilole na wengine wasio na sifa yoyote ya kumnadi kiongozi wa nchi kutokana na tabia zao chafu mitaani.

Jambo hili ni kama fursa kwa Wagombea wa Vyama vingine, wala hamna haja ya kusikitika, hii ni kwa sababu Wananchi Watamchoka Mgombea huyo mapema na kampeni zake zitachuja kwa kukosa watu mapema na kuwaachia Maofisa wa serikali na Walinzi wake, Nani amesahau Mwaka 2020 wakati Magufuli na Humphrey Polepole wakipiga magoti jukwaani kuwaomba kura Wananchi?

Wakati ccm inapandisha Wahuni wasio na maadili kumuombea kura Mgombea wao, Wapinzani watapandisha Wazee wanaoheshimika akina Warioba na Wengine.
Yaani Mzee Warioba apande Jukwaani na wahuni kama Lissu? Usimkosee heshima Mzee wetu, allaahh!!
 
Mimi binafsi inanishangaza sana kuona tume ya uchaguzi Iko kimya huku mgombea wa CCM akiwa tayari ameanza kampeni siku nyingi sana.

Hii ni double standard ya hali ya juu sana, kuwa Rais hakukufanyi ukakiuka taratibu za nchi na kujiamulia tu kufanya mambo yako.

Kesho CDM na vyama vingine vikianza kufanya kampeni kama anavyofanya mgombea wa CCM bila shaka tutawaona polisi wakikemea na tume ya uchaguzi ikija mbele.

Double standards ndio zimeleta machafuko na migawanyiko maeneo mengi sana ya Dunia, CCM na watu wake kwa kutojua historia ya Dunia na umwagaji damu uliosababishwa na ujinga kama huu wanaofanya kwa kuamini kuna vyomba vya dola vitalinda upumbavu wao bila kujua siku umma ukichoka hakuna polisi wala mwanajeshi atakayewazuia.
 
Mimi binafsi inanishangaza sana kuona tume ya uchaguzi Iko kimya huku mgombea wa CCM akiwa tayari ameanza kampeni siku nyingi sana.

Hii ni double standard ya hali ya juu sana, kuwa Rais hakukufanyi ukakiuka taratibu za nchi na kujiamulia tu kufanya mambo yako.

Kesho CDM na vyama vingine vikianza kufanya kampeni kama anavyofanya mgombea wa CCM bila shaka tutawaona polisi wakikemea na tume ya uchaguzi ikija mbele.

Double standards ndio zimeleta machafuko na migawanyiko maeneo mengi sana ya Dunia, CCM na watu wake kwa kutojua historia ya Dunia na umwagaji damu uliosababishwa na ujinga kama huu wanaofanya kwa kuamini kuna vyomba vya dola vitalinda upumbavu wao bila kujua siku umma ukichoka hakuna polisi wala mwanajeshi atakayewazuia.
Ndio maana tunasema No Reform No Election
 
View attachment 3246224

Naomba nitofautiane na watu wengi wanaoshangazwa na Mgombea wa ccm kuanza kampeni miezi 12 kabla ya uchaguzi, unapoanza kampeni mwaka mmoja kabla ya uchaguzi unatoa nafasi kwa Wananchi wakuchoke na kukuona mtu wa kawaida mno, na hasa unapotumia watu walewale kwa mwaka wote huo kukunadi, akiwemo Steve Nyerere, Dotto Magari, Shilole na wengine wasio na sifa yoyote ya kumnadi kiongozi wa nchi kutokana na tabia zao chafu mitaani.

Jambo hili ni kama fursa kwa Wagombea wa Vyama vingine, wala hamna haja ya kusikitika, hii ni kwa sababu Wananchi Watamchoka Mgombea huyo mapema na kampeni zake zitachuja kwa kukosa watu mapema na kuwaachia Maofisa wa serikali na Walinzi wake tu, Nani amesahau Mwaka 2020 wakati Magufuli na Humphrey Polepole wakipiga magoti jukwaani kuwaomba kura Wananchi?

Wakati ccm inapandisha Wahuni wasio na maadili kumuombea kura Mgombea wao, Wapinzani watapandisha Wazee wanaoheshimika akina Warioba na Wengine.
ukata wa pesa ni kitu mbaya sana aise, hasa taasisi ikiwa inaongozwa na kibaka na tapeli wa siasa 🐒
 
View attachment 3246224

Naomba nitofautiane na watu wengi wanaoshangazwa na Mgombea wa ccm kuanza kampeni miezi 12 kabla ya uchaguzi, unapoanza kampeni mwaka mmoja kabla ya uchaguzi unatoa nafasi kwa Wananchi wakuchoke na kukuona mtu wa kawaida mno, na hasa unapotumia watu walewale kwa mwaka wote huo kukunadi, akiwemo Steve Nyerere, Dotto Magari, Shilole na wengine wasio na sifa yoyote ya kumnadi kiongozi wa nchi kutokana na tabia zao chafu mitaani.

Jambo hili ni kama fursa kwa Wagombea wa Vyama vingine, wala hamna haja ya kusikitika, hii ni kwa sababu Wananchi Watamchoka Mgombea huyo mapema na kampeni zake zitachuja kwa kukosa watu mapema na kuwaachia Maofisa wa serikali na Walinzi wake tu, Nani amesahau Mwaka 2020 wakati Magufuli na Humphrey Polepole wakipiga magoti jukwaani kuwaomba kura Wananchi?

Wakati ccm inapandisha Wahuni wasio na maadili kumuombea kura Mgombea wao, Wapinzani watapandisha Wazee wanaoheshimika akina Warioba na Wengine.
Mwenyekiti wa chama kuwa ndiye rais wa JMT ndio imerahisisha sana campaign za CCM na mgombea wao maana ziara ya kichama inakuwa ndio ziara ya kiserikali hapo hapo
 
Back
Top Bottom