Madhara ya kubana Mkojo kwa muda mrefu

Madhara ya kubana Mkojo kwa muda mrefu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210611_112255_296.png

Kulegea kwa misuli ya kibofu na kusababisha kushindwa kuzuia mkojo

Hupelekea kushindwa kutoa mkojo wote

Husababisha UTI, kutokana na bakteria wanaojitengeneza kwenye mkojo

Husababisha maumivu makali chini ya Tumbo
IMG_20210611_135000_254.png


Ukibana mkojo kuanzia masaa 10 na zaidi inaweza kupelekea mishipa ya kibofu kulegea na hata kibofu cha mkojo kupasuka
 
Hujazungumzia madhara yake katika figo.Leo umeniangusha sana!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom