Madhara ya kubana Mkojo kwa muda mrefu

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124

Kulegea kwa misuli ya kibofu na kusababisha kushindwa kuzuia mkojo

Hupelekea kushindwa kutoa mkojo wote

Husababisha UTI, kutokana na bakteria wanaojitengeneza kwenye mkojo

Husababisha maumivu makali chini ya Tumbo


Ukibana mkojo kuanzia masaa 10 na zaidi inaweza kupelekea mishipa ya kibofu kulegea na hata kibofu cha mkojo kupasuka
 
Hujazungumzia madhara yake katika figo.Leo umeniangusha sana!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…