Madhara yapo mfano:
1) Itafika pahala hutotamani tena kushiriki tendo hilo na mwanamke huyo kwakua utakua umekwisha mkinai na hiii itakupelekea wewe kutafuta kamchepuko ili kusaka ladha Tofauti jambo ambalo ni hatari kwenu maana ni rahisi kupata magonjwa ya zinaa ukiwa katika mtandao huo wa Ngono.
2) Madhara mengine ni pale tuu ambapo utakua unakosa MLO KAMILI, hii itapelekea mwili wako kuchoka na kushindwa kufanya kazi kama ipasavyo. Ifahamike yakua MANII(SPERMS) hutengenezwa kwa PROTEIN hivyo basi mwili huhitaji Protein kwa wingi ili kukamilisha kazi hiyo.
LAKINI.
Faida za Kufanya tendo la ndoa kila mara ni nyingi zaidi kuliko madhara. chamsingi ni wewe kuzingatia swala la Chakula na Maradhi
AU,
Embu tueleze kidogo Bao lako ni Lipi, Maana kuna wadau humu ndani dizain kama wanadhan "Ile kuchomeka na Kuchomoa ni Bao Moja...."