Madhara ya kuinama while pregnant

mariumjay

Member
Joined
Feb 15, 2013
Posts
24
Reaction score
4
habari za saa hizi?
naomba kujuzwa madhara yanayoweza kumpata mama mjamzito anaeinama mara nyingi au kwa muda mrefu hali ya kuwa mimba yake ni kubwa...kuanzia miezi sita na kuendelea.
natanguliza shukran!
 
Wataalam mje basii mtusaidie na cc
 
The thing is mimba inavyokua na balance ya mja napungua kutokana na shift of center of gravity so ni rahisi kuanguka

The other thing huwezi kujua position ya mtoto unapoinama so unaweza kumuumiza...
btw unainama kila mara ukifanya nini?
 
na je kulala kwa mgongo....madhara yake ni yapi?

Ukilala kwa mgongo muda mrefu , gravid uterus itakandamizi mshipa mkubwa wa damu unaoleta damu tumboni ( abdominal aorta) matokeo yake itacompromise blood supply tumboni , uterus ( hatimaye mtoto)na miguuni.
 
habari za saa hizi?
naomba kujuzwa madhara yanayoweza kumpata mama mjamzito anaeinama mara nyingi au kwa muda mrefu hali ya kuwa mimba yake ni kubwa...kuanzia miezi sita na kuendelea.
natanguliza shukran!
charminglady you have summoned me!! ahsante...

kwa ufupi in generalBending over will not hurt unborn baby , lakini pia inategemea huo muda mrefu anaozungumzia yeye ni dakika kadhaa au masaa mangapi..?

kuna circumstances nyingine kwa maoni yangu mama akiwa na low lying placenta ama marginal placenta si vizuri akaipa dharubu ya aina yoyote hiyo mimba .. kuna baadhi ya mimba hazihitaji dharubu especially kuanzia wiki ya 36

how do you know position ya placenta ?

utaambiwa ukiwa unakwenda clinic na kufanya ultrasounds

zaidi tu namshauri amsikilize dactari wake wa clinic anasemaje maana yeye ndiye anamjua hali yake vizuri na ndio anamuona mara kwa mara .................
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…