Halafu vyenye matatizo vipo vingi sana.... Wanaogopa kula kitimoto wakati hawatumii kondomu wakati wa kugegedana... Kitimoto hoyeeeeeee.........Mada ni nzuri hasa kwa ulivyo ichambua,,,ila c achi kula nyama ya nguruwe
Na bia ndo maana imeanza na herufi B.
hii chakula safi sana bora kuugua kuliko kuacha kuila
Halafu vyenye matatizo vipo vingi sana.... Wanaogopa kula kitimoto wakati hawatumii kondomu wakati wa kugegedana... Kitimoto hoyeeeeeee.........
twenzetu hubby wangu, ukanipatiepo hata kimoja kishushiwe na mdudu huyu kitimoto! Hakika natamka wazi, siku al-shabab wakija nyumbani wangu watauoga mchuzi na supu ya nguruwe! Ndio watakoma kunyanyapaa watu!watu hawajui kitimoto na bia ni dawa ya ukimwi.
nguvu za kiume na kike kamwe haziwezi kupungua kwa chakula hiki!wanasayansi wanasema inaongeza akili sana..
twenzetu hubby wangu, ukanipatiepo hata kimoja kishushiwe na mdudu huyu kitimoto! Hakika natamka wazi, siku al-shabab wakija nyumbani wangu watauoga mchuzi na supu ya nguruwe! Ndio watakoma kunyanyapaa watu!
Kuliko uninyime kitimoto, bora ukanilaze westgate bila ulinzi wowote!
mke mwenza umeua! Umemalizaaaaaaaaaaaaaaa!kitimoto ni kama ngono, ukianza kushiriki kwa hiari tu, basi huwezi acha, na ndio maana inaanza na herufi 'k'
Napenda kitimoto kuliko nyama yoyote hapa duniani....kitimoto tamuuuu sana + bia uwiiii.
nguvu za kiume na kike kamwe haziwezi kupungua kwa chakula hiki!
kuja pande ile hubby wangu! Achana na watu wenye wivu usio na mipaka! Wanatuua bila sababu, na chakula pia wanataka kutupangia! Hakika nasema, kabla hawajaniuliza maswali yao na kunisilimisha, watakuwa wameoga supu za chakula hiki!mke wa ujana wangu leo umenifurahishaje. Ngoja nikutafute wozap
amennnnnnnn mume wangu! Watuwacheeeeeeee tupumuweeeeeeee.............!tena kwa taarifa yao, hiki chakula kitakatifu kinaongeza nguvu zote.
nguvu za kiume na kike kamwe haziwezi kupungua kwa chakula hiki!
Kutwaaa kuchaaaaa wanakaa kuipinga kitimoto, lakini kutwaaa kuchaaaa wanakula kwa kificho, wale wa Sinza wanaenda kula mbande na wa Mbande wanakesha kibaha kuitwanga kitimoto... Na ndiyo maana wakati wa ule mwezi huwa inadoda sanaTena kwa taarifa yao, hiki chakula kitakatifu kinaongeza nguvu zote.
asante kwa msimamo bwaasheUhitaji wa hii kitu ni mkubwa sana,hii inaashiria watu wengi wa iman tofauti tofauti wanapiga hii kitu.
Kwa dar kilo ni elfu tisa ya ng'ombe ni buku tano.
Pia hachapwi viboko mtu,asiye kula asiingilie wenzie wanaokula.
mke mwenza umeua! Umemalizaaaaaaaaaaaaaaa!