Kuna baadhi ya dawa tukipewa na madaktari huwa hatushauriwi kutumia maziwa, naomba kujua kwa anaefahamu kama dawa zinazoongeza vitamin zina athiriwa utendaji kazi wake kwa namna yoyote na unywaji maziwa. Mfano dawa kama Nat B (Vitamin B) na nyinginezo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.