Madhara ya kutokufanya mapenzi

OME123

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2010
Posts
1,497
Reaction score
605
Watalaam niambieni km kuna madhara ya kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu mfano kukaa zaidi ya wiki mbili bila kufanya?
 
waambie wanafamilia wakupeleke hospitali huenda unamatatizo. Ina maaana wewe mke wako au girl friend wako huwa hasafiri hata wiki mbili? ungekuwa unaongelea miezi sita au mwaka hapo tungekuelewa. kama huwezi kuvumilia wiki mbili mwambie demu wako kaingia mkenge yaani wewe ni mkenge kabisa kama huwezi hata kupitisha wiki mbili.
 
...hakuna madhara yoyote... utakayo yapata, hata ukikaa miaka nenda rudi...
fanya mazoezi ya mwili kila wakati...
 
Jamani wiki mbili ni kma mfano tu
 
Watalaam niambieni km kuna madhara ya kutokufanya mapenzi kwa muda mrefu mfano kukaa zaidi ya wiki mbili bila kufanya?

Wiki mbili unaziona nyingi, wakati watu tuna miaka chungu nzima mpaka tumesha sahau papuchi ina harufu gani.
 
Kiama hiki sasa!!! watu wamekariri hadi harufi za papuchi mweeee
 
Mmh ulivyosema mda mrefu nikajua mwaka kumbe wiki mbili? Haya kaa mwenyewe izo siku 14 hlf utaprove kama kuna madhara au hakuna,
 
Yesu alikaa maisha yake yote bila kufanya mapenzi. Madhara kiafya hakuna labda kijamii.
 
ha ha ha ha ha wiki mbili tu! embu tuambie unafanya mara kwa wiki? ili tuweze kuona huo mda mrefu uko wapi.
 
Mmh ulivyosema mda mrefu nikajua mwaka kumbe wiki mbili? Haya kaa mwenyewe izo siku 14 hlf utaprove kama kuna madhara au hakuna,

usiseme hivyo yawaezekana jamaa anapta kutwa mara tatu sa lazima aone wiki mbili nyingi
 
sex is overrated nyways, i like my $5 wine than a meaningless sex with a dumb broad/
 
Sasa ww jamaa utakuwa vyatu tena una mitindio wa ubongo yan na uzee wote huo unaomba ushaur wa ngono?? Jibwa wee
 
Kidudu kitpungua saizi ukikaa wiki zote mbili bila kuona ndani Arifu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…