MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie mwachie MUNGU.
MTOTO akajibu Mungu hazimtoshi zile yebo ni ndogo!
Huu ni Mtihani Tuwapeleke Watoto KANISANI Wamjue MUNGU.
He! Ila wewe nawe waonekana huyo mtoto ni wa lika moja maana hayo ni mambo ya kuwasimulia watoto wenzako we unatuletea huku,hapa si pahala pake labda wapelekee wenzako kule fb...