Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Mkuu Rock City Kuikumbatia ikiwa ipo ON not Off.Mkuu,
Kuikumbatia ikiwa 'ON' au hata ikiwa 'OFF'
mkuu,
kuikumbatia ikiwa 'on' au hata ikiwa 'off'
Mkuu Samaritan Kwenye kidole hakuna madhara yoyote yale ila jiulize kwanini Laptop yako ina pata Joto kali?Mkuu MziziMkavu,
Samahani najua natoka kidogo kwenye uzi ila kwa sababu inahusu laptop, naomba kuuliza kama wale tunaotumia laptop muda mrefu bila mouse namaanisha kidole ndio kinakua in contact muda mwingi na ile sehem ya laptop ya kuongozea cursor, kwa kuwa mara nyingine hiyo sehem huwa inapata joto kama unatumia mda mrefu. Je, kuna madhara yeyote kwenye hicho kidole ambacho kinatumika mara nyingi kutokana na hilo joto?
Ubarikiwe
si unajua tena uswahilini ukigeuka tu imetembea!! inabidi muda wote uikumbatie!!majitu mengine bana, sasa wewe ikiwa off unaiukumbatia ya nini?
Mkuu Rutashubanyuma Fanya utafiti jaribu kuweka kila mara kwenye mapaja Laptop yako usije ukaja ukasema una upungufu wa nguvu za kiume.MziziMkavu hiyo laptop ilikuwa nzima kweli?
Mkuu Rutashubanyuma Fanya utafiti jaribu kuweka kila mara kwenye mapaja Laptop yako usije ukaja ukasema una upungufu wa nguvu za kiume.
Mkuu Rutashubanyuma Uzee wako una miaka mingapi?mimi umri wangu ni miaka 48 bado sio Mzee nipo poa je wewe mwenzangu Uzee wako miaka mingapi? Je huna mke?MziziMkavu tatizo siwezi kuzama kwenye laptop kwa kuiweka kwenye mapaja. pili, nguvu za kiume za ninina huu uzee...
Mkuu Rutashubanyuma Uzee wako una miaka mingapi?mimi umri wangu ni miaka 48 bado sio Mzee nipo poa je wewe mwenzangu Uzee wako miaka mingapi? Je huna mke?
Mkuu Rutashubanyuma Una watoto wangapi na una wajukuu wangapi kaka?MziziMkavu am 51yrs young....tatizo ni kuwa siyo umri ila kazi a kuzaa nilikwishaimaliza siku nyingi sana..............kwahiyo fertility rates are no longer a savoury thing in my life............
Mkuu Rutashubanyuma Una watoto wangapi na una wajukuu wangapi kaka?
MziziMkavu wawili tu na nimetosheka kabisaaaaaaaaaaaa na sina wajukuu.
si unajua tena uswahilini ukigeuka tu imetembea!! inabidi muda wote uikumbatie!!