Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf doctors naombeni msaada wenu juu ya madhara yatokanayo na kutumia sabuni mara nyingi kusafisha sehemu za siri(uke). Binafsi huwa nafanya hivyo ila kuna mahali wadada walikuwa wanaongea kuwa ina madhara though hawakufafanua zaidi. Mwenye uelewa please