Madhara ya kutumia sabuni kusafisha sirini

Yogati

Member
Joined
Jan 1, 2013
Posts
14
Reaction score
1
Jf doctors naombeni msaada wenu juu ya madhara yatokanayo na kutumia sabuni mara nyingi kusafisha sehemu za siri(uke). Binafsi huwa nafanya hivyo ila kuna mahali wadada walikuwa wanaongea kuwa ina madhara though hawakufafanua zaidi. Mwenye uelewa please
 
unasahauriwa kutumia sabuni za kawaida tu inasemekana hizo zenye kemikali zinaweza kuleta madhara kama muwasho katika sehemu za siri na mengineyo!
 

Mimi si doctor ila kwa uelewa nilionao ni kwamba ukeni kuna bacteria ambao ni natural wanawake tumeumbiwa na kazi yake ni kupambana na bacteria wengine ambao ni haribifu,sasa hao bacteria kazi yake kubwa ni kulinda uke na kumaintain yale majimaji yaan huepusha uke kuwa mkavu, sasa endapo utatumia sabuni ambazo ni antbacterial au zenye kemikali kavu, zinawadisturb au kuwaangamiza wale bacteria ambao wana faida na kuwafanya wale haribifu kuzagaa na kukusababishia matatizo kama fungus, kuwashwa n.k. vilevile hukausha yale majimaji ambayo ni muhimu na ukiyakosa basi shughuli ni pevu,.nimemnukuu doctor wangu so kama nimekosea naomba kufahamishwa zaid na madoctor humu.so kama unaweza acha kutumia hizo sabuni waweza kujisafisha kwa maji vuguvugu mengi na polepole badala ya sabuni.
 
ipo siku mtazifua kabisa! Maji salama yanatosha kuosha k zenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…