Madhara ya kuvaa Chupi

Yahh ukkshinda home chupi ya kazi gani?? Shida umetok mara umeteleza miguu juu aibu aibu aibu
 
kuna mabinti siku hizi hubeba chupi ya ziada kwenye mikoba hata baada ya zile siku 5 kupita
 
ni kuvuliwa bna . hakuna raha kubwa kwa mwanamke kama kuvuliwa chupi na kidume kwa meno.sema wanaume wa dar bna wakikuvua wanarusha mvunguni,mvungu wenyewe mchaafu . unajikuta kila siku fangasi aaah
[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Sisi wanaume mashine bila chupi hii misambwanda tutaitazamaje sijui!!.....chupi inasaidia mnara usiende hewani zaidi la sivyo ni kuumbuka
Ahahahaaaa ile kucheki msambwanda tu, askari anapiga saluti 90° kamili kule chini, bila ya chupi ni balaa especially ikitokea in public areas. Aliyevumbua chupi sio mjinga [emoji28]
 
Chupi pia hupindisha dushee, yangu mpk leo imepindia kushoto ha ha sasa ni mwendo wa boxer pana tu, sema shida huja nikiona mzigo matata na mgombea akasimama huwa inabidi kukaa kwanza mahali au kuweka mikono mfukoni ili kuficha hasira za mgombea
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kumbe tuko pamoja ila mm yangu haijapinda aiseee
 
Utaidhibitije machine it aka lochs cham as mbele ya mkweo na hili hali hujavaa chupi yenye kupunguza ukali wa gwaride lake la kusimama?
 
Mwenzenu naona raha kumvua mwanamke chupi kwa meno ucku, mih avae tu nikimvua hatovaa tena [emoji29][emoji29][emoji29]
 
Lakini sasa uvaaji wa nguo fupi sana na suruali za kubana sana ni lazima chupi zihusike.
 
Nasikia na wahaya nao hawavai chupi eti wanaogopa kupindisha minara ya vodacom.
 
kama kuna kitu sipendi nikute msichana amevaa yale ma tight yenye mfuko na chupi juu khaaa inakera.Halafu unakuta li taiti lenyewe lina rangi kama maji yaliyodekiwa au lingine jeusiiiii hata uwe mzurije nikiona umevaa hilo lidekio mi basi tenaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…