Madhara ya mchele mbichi kwa mjamzito

sacha

Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
76
Reaction score
11
Habari waungwana...mm ni mjamzito wa miez kadhaa hv..tatizo langu ni kutafuna mchele mbichi jamn..na nimeanza hv karibun kila baada ya masaa 6 hv lazma nijisikie kuutafuna mchele..je kuna madhara yeyote juu ya hili..na km ndio nn nifanye mbadala ili niache kabisa hii tabia.???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…