Nimeshiriki zoezi la uchangiaji damu salama la tarehe 10/02/2018 mkoani kilimanjaro lakini napatwa na tatizo la kuumwa na kichwa nyuma ya kisogo kwa chini je inaweza kua imesababishwa na kitendo cha kupunguza damu yangu maana ndio mara yangu ya kwanza kufanya hiki kitendo