Madhara ya operation kwenye korodani

Madhara ya operation kwenye korodani

marwarwa

Senior Member
Joined
May 3, 2016
Posts
107
Reaction score
50
Habari naomba kwa yoyote aliyewahi kufanyiwa upasuaji kwenye korodani anipe uzoefu wake kama kuna madhara yoyote maana kuna wanaosema kuwa ukifanya ni lazima utafanya tena. Ni kuondoa vivimbe kwenye korodani.
 
Sio busha mkuu ni matatizo ya kawaida ni vivimbe kama gololi kwenye korodani.
 
Pole
 

Attachments

  • _114266578_602a6401-66d4-478a-a115-f6bed65d7c93.jpg.jpg
    _114266578_602a6401-66d4-478a-a115-f6bed65d7c93.jpg.jpg
    179.2 KB · Views: 6
Chances za jogoo kutopanda mtungi tena ni kubwa.
Hivyo wazagamue kisawasawa kwa mara ya mwisho.

Baada ya hapo sketi zote watakuwa dada zako na itakuwa mwendo wa kuwekea mkono tu nyumbani.
 
Habari naomba kwa yoyote aliyewahi kufanyiwa upasuaji kwenye korodani anipe uzoefu wake kama kuna madhara yoyote maana kuna wanaosema kuwa ukifanya ni lazima utafanya tena. Ni kuondoa vivimbe kwenye korodani.

Pole sana.

Si kweli kwamba ukifanyiwa upasuaji kwenye korodani basi ni lazima ufanyiwe tena baadae.

Kama upasuaji wako ni kwa lengo la kuondoa uvimbe kwenye korodani hakuna ulazima wa kufanya tena kama uvimbe wote ulitolewa hakuna sababu ya kurudia tena.

Kila la kheri.
 
Utakuwa huwezi kupiga mikito ya nguvu mana utafumua mshono
 
Chances za jogoo kutopanda mtungi tena ni kubwa.
Hivyo wazagamue kisawasawa kwa mara ya mwisho.

Baada ya hapo sketi zote watakuwa dada zako na itakuwa mwendo wa kuwekea mkono tu nyumbani.
Kwahiyo Mwendo Wa Ngiri Mkia Juu Hatapata Tena
 
Pole sana.

Si kweli kwamba ukifanyiwa upasuaji kwenye korodani basi ni lazima ufanyiwe tena baadae.

Kama upasuaji wako ni kwa lengo la kuondoa uvimbe kwenye korodani hakuna ulazima wa kufanya tena kama uvimbe wote ulitolewa hakuna sababu ya kurudia tena.

Kila la kheri.
Kıla siku naeleza madhara ya kuacha h! Hii sasa oneni! marwarwa aliandika …utafanya tena. Akimaanisha hutafanya tena yaani dushe halitasimama. Alipoacha h ikaonekana kama alitaka kusema ugonjwa utajirudia.

Bandugu, Kiswahili fasaha si hiari katika mawasiliano.
 
Mmmh mkuu mbona kama utakuwa hanithi baada ya HAPO
 
Kıla siku naeleza madhara ya kuacha h! Hii sasa oneni! marwarwa aliandika …utafanya tena. Akimaanisha hutafanya tena yaani dushe halitasimama. Alipoacha h ikaonekana kama alitaka kusema ugonjwa utajirudia.

Bandugu, Kiswahili fasaha si hiari katika mawasiliano.

Duh kumbe alimaanisha tofauti....Hakika ufasaha katika maandishi ni muhimu sana, mimi nilielewa na kuchukulia kama alivyoandika. Haya matumizi ya "a" badala "ha", "u" badala ya "hu" nk huleta maana tofauti.
 
Habari naomba kwa yoyote aliyewahi kufanyiwa upasuaji kwenye korodani anipe uzoefu wake kama kuna madhara yoyote maana kuna wanaosema kuwa ukifanya ni lazima utafanya tena. Ni kuondoa vivimbe kwenye korodani.


Kama ulimaanisha kwamba ukishafanyiwa upasuaji wa korodani hutaweza kufanya tendo hilo nalo siyo sahihi.

Mishipa ya fahamu inayofanya uume kusimamia (erection) na kusisimuka hazipo kwenye korodani kwa hiyo kuharibiwa kwake haiwezekani wakati wa upasuaji wa kwenye sehemu ya korodani.
 
Back
Top Bottom