Madhara ya pipi Toffee

Madhara ya pipi Toffee

sinajinasasa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
2,988
Reaction score
4,152
Wakuu salaam!!

Ama baada ya salaam, naomba kuuliza kwa wenye utaalamu na mambo ya afya.
Mimi napenda sana kula pipi toffee, yaani kwa siku naweza tafuna hadi vipande 40 vya pipi hizo, hadi najistukia kuwa ntakuja pata madhara.
Sasa naomba kujua hizi pipi zina in gredients gani zenye madhara, maana nazipenda sana.
 
Wakuu salaam!!

Ama baada ya salaam, naomba kuuliza kwa wenye utaalamu na mambo ya afya.
Mimi napenda sana kula pipi toffee, yaani kwa siku naweza tafuna hadi vipande 40 vya pipi hizo, hadi najistukia kuwa ntakuja pata madhara.
Sasa naomba kujua hizi pipi zina in gredients gani zenye madhara, maana nazipenda sana.
Ndugu zangu mmegoma kabisa kuchangia au hakuna anayeelewa madhara yake, naona mnapitia tu na kusepa...
 
Kula tu hazina madhara maana zimeshapitishwa na mamlaka ya chakula kuwa kutumia. [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] hata Mimi nazipenda kweli
 
Wakati tunawasubiri wataalam waje, common sense yangu unaniambia upunguze kula, vipande 40 kwa siku ni vingi sana. Meno yanaweza kuathirika na sukari inayobaki kwenye meno. Mengine wajuvi watakuja kuongezea
 
Madhara mengine makubwa ni uvivu wa kusoma,naona wewe umekwisha athirika kwa kutokusoma kifungashio chake badala yake unataka kusomewa
 
Back
Top Bottom