sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Wakuu salaam!!
Ama baada ya salaam, naomba kuuliza kwa wenye utaalamu na mambo ya afya.
Mimi napenda sana kula pipi toffee, yaani kwa siku naweza tafuna hadi vipande 40 vya pipi hizo, hadi najistukia kuwa ntakuja pata madhara.
Sasa naomba kujua hizi pipi zina in gredients gani zenye madhara, maana nazipenda sana.
Ama baada ya salaam, naomba kuuliza kwa wenye utaalamu na mambo ya afya.
Mimi napenda sana kula pipi toffee, yaani kwa siku naweza tafuna hadi vipande 40 vya pipi hizo, hadi najistukia kuwa ntakuja pata madhara.
Sasa naomba kujua hizi pipi zina in gredients gani zenye madhara, maana nazipenda sana.