Wakuu heshima kwenu.
Kama MTU alikuwa mnywaji wa pombe wa kiwango cha kati na ameacha.je mwili wake mfano utumbo, ini,figo utakuwa umedhurika. Je apate diet ipi au ale vyakula gani sana kuondoa hizo sumu? Au kuna dawa yakutoa sumu mnijuze. Ahsante
wakuu heshima kwenu.
Kama mtu alikuwa mnywaji wa pombe wa kiwango cha kati na ameacha.je mwili wake mfano utumbo, ini,figo utakuwa umedhurika. Je apate diet ipi au ale vyakula gani sana kuondoa hizo sumu? Au kuna dawa yakutoa sumu mnijuze. Ahsante
Wakuu heshima kwenu.
Kama MTU alikuwa mnywaji wa pombe wa kiwango cha kati na ameacha.je mwili wake mfano utumbo, ini,figo utakuwa umedhurika. Je apate diet ipi au ale vyakula gani sana kuondoa hizo sumu? Au kuna dawa yakutoa sumu mnijuze. Ahsante