mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Uchunguzi wa awali unaonyesha kuwa simu nyingi za kichina hazina viwango vya FCC , hivyo kwa kuwa nyingi hutengenezwa kupitia viwanda vidogo vidogo huingizwa nchini kwa njia ya magendo.
Utafiti huu unaweza kudhibitika kwa yafutayo.
1. Simu nyingi hazina majina halisi, nyingi zina chip inaitwa MTK, Spedrum, Infineon ambazo ni chip nyepesi sana ambazo hazihimili kiwango cha umeme kwa siku nyingi, ndio maana simu nyingi uganda wakati wa kuwaka. Utakuta simu inaitwa nokla, simsungu ipone ilimladi tu iweze kushaabiana na original.
2. Simu hivi zina madini hatari sana ambayo yanaitwa li-ione ambayo yanatengeneza muwako ambao unaweza kuunguza au kutumika kutengeneza mabomu. Madini hayo huwekwa kwenye betery ya kichina ambazo sio imara kwani zimetengenezwa kwa kuzungushia karatasi nyepesi.
3. Viwango vya spika sio sahii kwani vinaweza kumfanya mtu awe kiziwi akitumia simu hizi kwa muda mrefu.
4. kwa kuwa simu nyingi zina vioo vya taachi, au shika shika vioo hivi hualibika mara kwa mara hivyo mafundi wengi wanaotumia dawa ya kubandua kioo na kubandika huungua mfumo wa uvutaji hewa kwani dawa hii (soldering Paste)mafuta haya yanasumu kali.
5. Utafiti unaonyesha Tanzania inatumia kiasi kikubwa cha fedha za kigeni kuagiza bidhaa mbovu za simu, ambazo hudumu muda mfupi.
6. Simu hizi zimeongeza mianya ya rushwa upande wa TRA na TBS kwani ndio wanaoruhusu bidhaa hii mbofu mbofu.
7. Imekatisha tamaa makampuni makubwa yanayolipa kodi kama vile Sansung, Nokia, Siemens, Iphone ,Sony Ericsson kwani simu nyingi zimeigwa kwa kutumia ujuzi wa kampuni hizi.
8. Mafundi walipa kodi na wenye vipaji wameanza kupotea kwani kazi hii imeonekana kudhaulikwa, kwa kuwa ukitengeneza simu hizi unatengeneza ugomvi na wateja wako kwani kila siku matatizo hayaishi.
9. Zimu hizi zinaongeza wizi wa mitandao kwa kuwa nyingi zina chip ambazo hazitambuliki kimataifa hivyo kuziingiza kwenye mtandao wa kudhibiti vyombo hivi kuwa mgumu, kwani no. zinazotambulika ni MSID na ICCID au PIN au product Code No.
Namalizia kwa kusema basi kama hatuwezi tuige mfano wa Kenya na Uganda wamezipiga marufuku
Utafiti huu unaweza kudhibitika kwa yafutayo.
1. Simu nyingi hazina majina halisi, nyingi zina chip inaitwa MTK, Spedrum, Infineon ambazo ni chip nyepesi sana ambazo hazihimili kiwango cha umeme kwa siku nyingi, ndio maana simu nyingi uganda wakati wa kuwaka. Utakuta simu inaitwa nokla, simsungu ipone ilimladi tu iweze kushaabiana na original.
2. Simu hivi zina madini hatari sana ambayo yanaitwa li-ione ambayo yanatengeneza muwako ambao unaweza kuunguza au kutumika kutengeneza mabomu. Madini hayo huwekwa kwenye betery ya kichina ambazo sio imara kwani zimetengenezwa kwa kuzungushia karatasi nyepesi.
3. Viwango vya spika sio sahii kwani vinaweza kumfanya mtu awe kiziwi akitumia simu hizi kwa muda mrefu.
4. kwa kuwa simu nyingi zina vioo vya taachi, au shika shika vioo hivi hualibika mara kwa mara hivyo mafundi wengi wanaotumia dawa ya kubandua kioo na kubandika huungua mfumo wa uvutaji hewa kwani dawa hii (soldering Paste)mafuta haya yanasumu kali.
5. Utafiti unaonyesha Tanzania inatumia kiasi kikubwa cha fedha za kigeni kuagiza bidhaa mbovu za simu, ambazo hudumu muda mfupi.
6. Simu hizi zimeongeza mianya ya rushwa upande wa TRA na TBS kwani ndio wanaoruhusu bidhaa hii mbofu mbofu.
7. Imekatisha tamaa makampuni makubwa yanayolipa kodi kama vile Sansung, Nokia, Siemens, Iphone ,Sony Ericsson kwani simu nyingi zimeigwa kwa kutumia ujuzi wa kampuni hizi.
8. Mafundi walipa kodi na wenye vipaji wameanza kupotea kwani kazi hii imeonekana kudhaulikwa, kwa kuwa ukitengeneza simu hizi unatengeneza ugomvi na wateja wako kwani kila siku matatizo hayaishi.
9. Zimu hizi zinaongeza wizi wa mitandao kwa kuwa nyingi zina chip ambazo hazitambuliki kimataifa hivyo kuziingiza kwenye mtandao wa kudhibiti vyombo hivi kuwa mgumu, kwani no. zinazotambulika ni MSID na ICCID au PIN au product Code No.
Namalizia kwa kusema basi kama hatuwezi tuige mfano wa Kenya na Uganda wamezipiga marufuku