Madhara ya sumu za Fogging/ Fumigation

leipzig

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2013
Posts
2,766
Reaction score
1,708
Kuna madhara gani yanayoweza kumpata mtu anapoingia mapema kwenye chumba ambacho kilifanyiwa fogging au fumigation? je madhara yakoje kwa mwanamke mjamzito? kuna namana yoyote ya kuthibitisha hewa ya sumu haina madhara kwa binadamu kuvuta hewa baada ya zoezi hilo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…