Madhara ya ulaji wa udongo

Madhara ya ulaji wa udongo

Status
Not open for further replies.

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Joined
Aug 7, 2018
Posts
685
Reaction score
1,124
IMG_20210424_102223_890.jpg


- Vidonda na mikwaruzo kwenye utumbo

- Kupata Minyoo

- Kuhisi kushiba muda wote, hivyo husababisha mwili kukosa virutubisho

- Kukosa haja kubwa au kupata haja kubwa ngumu, inaweza kupelekea kupata bawasiri

- Kupata kidole tumbo 'appendix'

- Kuna uwezekano wa kula sumu kwenye udongo
 
Upvote 0
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom