Madhara ya utoa mimba ni yapi?

Siku zinavyokwenda,mabinti wanaongeza kasi ya kutoa mimba kwa visingizio mbalimbali!
Mwenye detailed maelezo juu ya madhara ya hii kitu aweke hapa.

nahisi kama ushampa mimba binti wa watu sasa unahofu ya kumpeleka kuitoa.
Sasa ni hivi: madhala ya kwanza ni kua ukitoa unajihakikishia kwenda jehanamu.lakin pia binti aweza kufa au asipate tena ujauzito.
Pima ufanye maamuzi!
 
nahisi kama ushampa mimba binti wa watu sasa unahofu ya kumpeleka kuitoa.
Sasa ni hivi: madhala ya kwanza ni kua ukitoa unajihakikishia kwenda jehanamu.lakin pia binti aweza kufa au asipate tena ujauzito.
Pima ufanye maamuzi!

Hisia zako si sahihi hata kidogo!
Thread hii nimeianzisha kwa madhumuni ya kuelimisha umma madhara ya kutoa mimba kwani tendency hii imekuwa ikiongezeka kila kukicha!Changia kuelimisha jamii;dont be that negative towards me.
 
If ua A negative, hutajifungua tena, mimba zitakua zinatoka tu, bora kujua grup lako la dam b4 atemptin anythng stupid.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…