Madhara ya uvutaji bangi, pombe na madawa ya kulevya huwezaje kumuathiri mtoto wakati wa utungaji wa mimba na baada ya kuzaliwa?

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Habari wanajf?

Naomba kwa wenye uelewa wanisaidie kufahamu madhara ya matumizi ya bangi, pombe na madawa mengine ya kulevya; kutoka kwa mzazi kwenda kwa mtoto?

Inawezekana mtoto akapata athari za vitu hivyo wakati wa utungaji wa mimba na/au baada ya kuzaliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…