Madhara yake nini?

Nchi Kavu

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2010
Posts
4,290
Reaction score
2,468


Kama mnavyoona hapo. Nimetokea kupenda huu mchanganyiko siku za karibuni. Hii ngano si ndio yale ya kijenetiki? Na haya maziwa ya unga mtu akitumia kila siku madhara yake nini? Maoni yenu tafadhali
 
Ninafahamu faida ni kuwa ni fibre kwahiyo ni kama brush kwenye utumbo lakini utapumua sana baada ya kula ninadhani umeshiona hiyo. Too much of anything is harmful.
 
Nzuri kuanzia nayo siku....uhakika wakusukuma vya jana yake upo.
 
Ninafahamu faida ni kuwa ni fibre kwahiyo ni kama brush kwenye utumbo lakini utapumua sana baada ya kula ninadhani umeshiona hiyo. Too much of anything is harmful.
Kwahiyo madhara ni kupumua tu? Basi aendelee tu kujilia machakula yake maana wengine hawali hayo lakini wanapumua tu.
By the way kupumua unamaanisha kujamba au ile maana nyingine ya watoto wa kimjini.
 
Ninafahamu faida ni kuwa ni fibre kwahiyo ni kama brush kwenye utumbo lakini utapumua sana baada ya kula ninadhani umeshiona hiyo. Too much of anything is harmful.
Kushuta sio kiviile. Naulizia zaidi kuhusu madhara ya kiafya maana hizi ni processed food. Na wataalam wanasema vyakula vya makopo au kiwandani si vya kuendekeza
 
Kushuta sio kiviile. Naulizia zaidi kuhusu madhara ya kiafya maana hizi ni processed food. Na wataalam wanasema vyakula vya makopo au kiwandani si vya kuendekeza
Jibu lipo wazi asee.....
 
Kushuta sio kiviile. Naulizia zaidi kuhusu madhara ya kiafya maana hizi ni processed food. Na wataalam wanasema vyakula vya makopo au kiwandani si vya kuendekeza
Mimi ninamtazo mmoja tofauti sana , mtazamo wangu ni kula kila kitu kifaacho kula, lakini katika mfumo wa balance diet, fanya mazoezi kila siku, pata mapumziko ya kutosha, kunywa maji ya kutosha, weka ratiba ya kuchunguza afya yako angalau mara mbili kwa mwaka, ( sio lazima kuumwa ndo uende hospitali.)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…