MRIMI MWESO
Member
- May 5, 2012
- 5
- 1
kiswahili fasaha ni "madhumuni" na siyo dhumuni hayo ni makosa ya mazoea tu
Sijui kwa nini pamoja na kujua kanuni hii ulimi unakuwa mzito. Mimi siyo mtaalamu wa kiswahili ni mtumiaji tu- juzi juzi nikiwa nawasilisha mada fulani mahali nikataka kusema kwa kiswahili - Please think of targets for each objective. Pamoja na kujua kanuni hii nilishindwa ulimi ulikuwa mzito.... niltakiwa nisemje ili wanielewe vizuri kama nilivyoiweka kwa kidhungu?
naomba mnikwamue hapo
Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakitumia neno dhumuni badala ya neno madhumuni. Je, ni sahihi?