Madibira Sekondari Wapewa Vifaa vya TEHAMA na Mbunge UWT Mbeya

Madibira Sekondari Wapewa Vifaa vya TEHAMA na Mbunge UWT Mbeya

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MHE. BAHATI NDINGO AIWEZESHA VIFAA VYA TEHAMA NA SARUJI MADIBIRA SEKONDARI

Mbunge wa Viti Maalum CCM (UWT) Mkoa wa Mbeya Mhe. Bahati Keneth Ndingo na Mwazilishi wa Bahati Ndingo Foundation & Jamii na Maadili Kampeni mnamo tarehe 22 Aprili, 2023 alikuwa mgeni rasmi katika mahafali ya kidato cha sita katika Shule ya Sekondari Madibira.

Pamoja na changamoto nyingi walizomueleza mgeni rasmi, Mhe. Ndingo aliweza kuwaunga mkono kwa kuwapatia vifaa kadhaa vya TEHAMA (Photocopy Machine - heavy duty) kwa ajili ya kusaidia kazi mbalimbali Madibira Sekondari

Mhe. Bahati Ndingo aliwapatia wanafunzi wa Madibira Sekondari Ng’ombe mmoja ili vijana wapate kitoweo wakati wanafanya mitihani yao wa mwisho.

Lakini pia alifanikiwa kuchangia mifuko 40 ya saruji (cement) ili kuwaunga mkono Wananchi na Serikali kuwezesha ujenzi wa jiko katika Kituo cha Afya Madibira wilayani Mbarali.

#KaziInaendelea
#MaadiliMemaKwaUstawiWaTaifaLetu
 

Attachments

  • WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.05.jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.05.jpeg
    30.2 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.05(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.05(1).jpeg
    31.7 KB · Views: 5
  • WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.03.jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.03.jpeg
    21 KB · Views: 6
  • WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.03(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.03(1).jpeg
    43.3 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.04.jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.04.jpeg
    38.4 KB · Views: 4
  • WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.04(1).jpeg
    WhatsApp Image 2023-04-26 at 18.19.04(1).jpeg
    24.7 KB · Views: 5
Back
Top Bottom